Social Icons

Pages

Sunday, 5 December 2010

real madrid yatoadozi.ronaldo aendelea kucheka na nyavu.

baada ya kipigo kutoka kwa barca,real madrid imeendeleza ubabewake kwa kuivurumisha timu ya valencia mabao2-0,mabao hayo yakitumbukizqa kimiani na winga mreno cristiano ronaldo.

CHELSEA yakabwa koo,drogba aondoa ukame wa magoli

mabingwa watetezi wa ligi kuu uingereza(chelsea) hapo jana walikabwa koo na everton baada ya kuazimishwa sare ya 1-1.bao la chelsea lilifungwa na mshambuliaji nguli wa ivory coast didier drogba na baadae everton kusawazisha dakika ya 85 yamchezo.pichani bosingwa wa chelsea na steven piner wa everton.

ARSENAL kileleni uingereza,nasri aiua fulham

jana ilikuwa siku nzuri kwa arsenal kukalia msukani wa ligi kuu uingereza baada ya kuisambalatisha fulham kwa jumla ya mabao 2-1,mabao ya arsenal yalitiwa kimiani na kiungo wao machachari samir nasri,wakwamza kushoto.

Saturday, 4 December 2010

manchester united imeandaa kitita cha pound 16.5m kumnasa kiungo mjerumani

manchester united ipoteari kutoa kitita cha pound 16.5m kwaajili ya kumnasa winga wa welderbremen ya ujerumani marko marini(messi wa ujerumani).kocha sir alex fergueson amesema"nikotayari kupambana na klabu yoyote itakayotaka kumuwania mchezaji huyu"amesema sir alex  fergueson.timu nyingine zilizo onyeshania ya kutaka kumnyakua marini ni arsenal,liverpool na tottnham zote za uingereza.
chanzo-goal.com

man city yajiandaa kumnyakua galeth bale

manchester city imeandaa dau la shilingi paun 45m kwaajili ya kumnasa kiungo wa tottenham galeth bale.abali hiyo ilitolewa na mmoja wa maofisa wa juu wa timu ya man city.lakini uongozi wa tottenham umesema kwamba bale haenditimu yoyote.
chanzo-goal.com.

mechi kati ya manchester na blackpool ya ahirishwa.

blackpool
mechi kati ya mashetani wekundu na blackpool yaahirishwa kwasababu ya barafu kali kufunika uwanja wa timu ya blackpool uwanja huo ulikaguliwa na refaree peter walton siku ya ijumaa nakulazimika kuahilisha pambano hilo lililotarajiwa kupigwa nyakati za usiku leo j-mosi tarehe 4 dec

Friday, 3 December 2010

hongera jk

hongera jk kwa kuchaguliwa kuwa rais wa tz kwa awamu ya pili